Hali sasa iko hivi watumiaji wa mtandao ya Instagram kupitia application ya ku-repost picha iitwayo Instagram Photo Sharing App wamezuiliwa
kushare post zozote zinazo ashiria uvujaji wa siri kutoka nchini himo,
na kwa mtu yoyote atakae jaribu kushare picha yoyote inayoashiria kua
picha ya kusambaza siri za ndani za nchi wanakutana na ujumbe unaosema; >>>“Onyo! Huwezi kuonganishwa na Website hii kwa sababu imezuwiwa kutumika na application hii”.
North Korea imeamua haya kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment