Mashindano Makubwa Ya Kutafuta Vipaji Vya Mziki Fiesta Super Nyota Mbeya 2016 Yamalizika Apo Jana Baada Ya Mshindi Kupatikana Ambae Atawakilisha Mbeya Katika Mashindano Ya Super Nyota Taifa.
Walio Fanikiwa Kupenya Adi Fainali Yani Tatu Bora Ni
Zax 4Real,
SeleMentally Na Mwanadada
Ammy Chiba.
Na Mwanadada Ammy Chiba Ndie Alie Ibuka Kidedea
Baada Ya Kuongea Na New Day Taarifa, Bi Dada Ammy Chiba Alifunguka Kwa Kusema
''Mi Namshukuru Sana Mungu Kwa Kunisaidia Adi Nimemaliza Mashindano Salama Na Adi Nimeibuka Mshindi Wa Shindano Hili La Leo, Pia Nawaahidi Sito Waangusha Watuwangu Wa Mbeya Nitawawakilisha Vizuri Mbeya''.
No comments:
Post a Comment