Afande Sele na asili ya muziki wa Tanzania, Fd Q anaitamani siasa?

http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/08/mtu.jpg?resize=430%2C300                                                        Afande Sele ambaye amezungumzia asili ya muziku wa Tanzania kuwa inatokea Mkoani Morogoro na nyanda za juu ikiwemo Songea ambapo wenyeji wengi ni Wangoni.
http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/fidq.jpg?resize=507%2C338
Pia amesikika mwanamuziki Fid Q ambaye amezungumzia mchakato kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao, na kuweka bayana kuwa katika siasa kuna matatizo yake, kuna mapengo kibao, na haoni sioni kama  siasa inamshinda ila anaogopa uongo uliopo kwenye siasa.

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved