Huku hayo yakijiri, ndege za utawala haramu wa Israel zimeshambulia maeneo kadhaa ya Gaza kwa kisingizio cha ulipizaji kisasi baada ya roketi moja kutoka upande wa ukanda huo kuanguka kwenye jangwa upande wa pili. Makundi ya Hamas na Jihadi Islami yamekanusha kurusha roketi yoyote kuelekea Israel.
Huku hayo yakijiri, ndege za utawala haramu wa Israel zimeshambulia maeneo kadhaa ya Gaza kwa kisingizio cha ulipizaji kisasi baada ya roketi moja kutoka upande wa ukanda huo kuanguka kwenye jangwa upande wa pili. Makundi ya Hamas na Jihadi Islami yamekanusha kurusha roketi yoyote kuelekea Israel.
No comments:
Post a Comment