Akizungumza katika kongamano la kimataifa la KIUCHUMI, barani AFRIKA linalofanyika mjini CAPE TOWN nchini humo, Rais ZUMA amesema haijalishi udogo au ukubwa wa rushwa , bali kilicho muhimu kwa wananchi ni kuona kuwa serikali husika zinawashughulikia viongozi wala rushwa kwa mujibu wa sheria.
No comments:
Post a Comment