Mkurugenzi Mkuu wa Bodi hiyo TARIMBA ABBASS amesema kuwa Zoezi la kukamata na kuteketeza Mashine hizo lilianza mwishoni mwa mwaka jana baada ya kupokea malalamiko juu ya Mashine hizo na kwamba zoezi hilo ni endelevu, ambapo mpaka sasa zaidi ya Mashine elfu moja na mia tano zimekamatwa na kuteketezwa.
No comments:
Post a Comment