Aliyejiandikisha mara 2 katika daftari la kudumu akamatwa na polisi |
Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mwalimu ZAINAB MBUSSI ameiambia TBC kuwa VEKLINE MWANKENJA amekutwa na shahada mbili ambazo amejiandikisha katika vituo viwili tofauti vya kujiandikisha, vilivyo jirani.
Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR limeendelea mkoani Mbeya tangu limeanza May 19 mwaka huu, na June 28 linatarajiwa kuhitimishwa,pamoja na kuwepo kwa changamoto kadhaa, uvunjaji wa sheria umejitokeza wilayani Rungwe.
No comments:
Post a Comment