Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamisi Kigwangallah na familia yake wakiingia katika Uwanja wa Parking mjini Nzega jana. |
Kwa ufupi
- Akitangaza nia yake katika Uwanja wa Parking Mjini Nzega jana, Dk Kigwangalla aliyetangaza nia hiyo kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam Septemba 7, mwaka jana, alisema: “Wakati umefika kwa Watanzania kufikiri tofauti na kutaka mabadiliko.”
No comments:
Post a Comment