Alichokisema Tox Star Kuhusu Nyimbo Yake Mpya Chillax

Interview Ya Tox Star Alio Ifanya Akiwa Jijini Mbeya Kuhusiana Na Nyimbo Yake Mpya Akiwa Na Barnaba Chillax. Tox Star Alipiga Story Na New Day Taarifa Kuhusu Jinsi Alivo Jupanga Kuhusiana Na Game Jinsi Linavokwenda Saizi.
Pia Tox Star Aliwashukuru Shabiki Zake Kwa Kumpokea Vizuri Pia Na Wadau Kupokea Nyimbo Yake Vizuri.
Vivo Hivyo Video Inaendelea Kufanya Vizuri Katika Channel Mbalimbali Za Hapa Nyumbani Na Nje Pia Kama Trace Na MTV..
Kuangalia Interview Nzima Link Hii Hapa Chini..
https://www.youtube.com/watch?v=vy-iChwhSC4&list=PLlIsYIYscWvZ-SpGaf8GO49mBt9zVYCR9

Tizzy B Afunguka Kuhusu Ngoma Yake Mpya Ya Dear Mchepuko

Leo Hii Tizzy B Afunguka Ndani Ya Media Na Kuachia Ngoma Yake Ya Dear Mchepuko,

Imeachiwa Rasmi Leo Hii Na Inapatakana katika Mitandao Mbalimbali Ya Kijamii..
Ukiachana Na Nyimbo Ya Dear Mchepuko Tizzy B Aweka Wazi Malengo Yake Kuhusu Mausiano Na Mpenzi Wake Kwamba Ni Kwenda Kutoa Posa Ivi Karibuni.
Tizzy B Afunguka Pia Kuhusu Changamoto Katika Maisha Kwamba Ni Kukatishwa Tamaa Na Watu, Ila Kwa Upande Wake Amesema anachukulia Ni Changamoto Tu  Za Kawaida Na Zinazidi Kumuongezea Nguvu Ya Kupigana Kimziki.
Neno La Mwisho Alilo Sema Tizzy B Kwa Mashabiki Ni Kwamba ''Naitaji Support Yenu Ili Tuweze Kufika Sehemu Flani Kwa Kushare Na Kupost pia katika mitandao Yetu Ya Kijamii Ili Tuwezeshe Mziki Wetu Kufika Mbali''..
Kupata Ngoma Hii Gusa Link Hii Apa http://www.mtiwadawa.com/2016/10/download-tizzy-b-dear-mchepuko.html
Kwa Hayo Na Mengine Mengi Kaa Nasi New Day Taarifa.

Walicho Kisema Walio Fika Fainali Kwenye MashindanoYa Fiesta Super Nyota

Wasikilize Ammy Chiba, Zax 4Real Na Selementally Walicho Kisema Baada Ya Mashindano Walipo Kutana Na New Day Taarifa Hapa https://www.youtube.com/channel/UCAe5cIoUh-SGI-mXB1lBluQ

Wadau Mbali Mbali Wa Mziki Watoa Maoni Yao Kuhusu Super Nyota Mbeya

New Day Taarifa Yapiga Story Na Watu Mbalimbali Ambao Ni Wadau Wa Mziki Mbeya Na Kutoa Maoni Yao Kuhusu Mashindano Ya Fiesta Super Nyota Mbeya 2016.
Watu Walio Bahatika Kupia Story Na New Day Taarifa Ni Pamoja Na Robert Elia, Nasir Green, Producer Gachi, Essem Creator, Dj Hiplus, Nolesy, Zax B, Na Wengine Wengi, Ambao wamefunguka kiundani sana ..
Kuwasikiliza Bofya Link Hapa https://www.youtube.com/channel/UCAe5cIoUh-SGI-mXB1lBluQ

Mashindano Ya Fiesta Super Nyota Mbeya 2016

Mashindano Makubwa Ya Kutafuta Vipaji Vya Mziki Fiesta Super Nyota Mbeya 2016 Yamalizika Apo Jana Baada Ya Mshindi Kupatikana Ambae Atawakilisha Mbeya Katika Mashindano Ya Super Nyota Taifa.

Walio Fanikiwa Kupenya Adi Fainali Yani Tatu Bora Ni Zax 4Real, SeleMentally Na Mwanadada Ammy Chiba.
  Na Mwanadada Ammy Chiba Ndie Alie Ibuka Kidedea 
 
Baada Ya Kuongea Na New Day Taarifa, Bi Dada Ammy Chiba Alifunguka Kwa Kusema
''Mi Namshukuru Sana Mungu Kwa Kunisaidia Adi Nimemaliza Mashindano Salama Na Adi Nimeibuka Mshindi Wa Shindano Hili La Leo, Pia Nawaahidi Sito Waangusha Watuwangu Wa Mbeya Nitawawakilisha Vizuri Mbeya''.

Msanii Castor Boy Afunguka Haya Kuhusu Mziki Anaofanya

Castor Boy
Castor Boy Alipo Kutana Na New Day Taarifa Alikua Na Yakusema Kuhusu Mziki Wake Jinsi Anavyo Uendesha Na Kuusimamia..
Castor Boy Alisema,
''Naitwa Castor Boy mwanamziki kutoka nyanda za juu kusini nikiwa nawakilisha vema mkoa wa mbeya nafanya muziki wa aina zote/yoyote japo nimejikita zaidi na Bongo Flavour (R&B) zaidi mahadhi ya zouk. Kimsingi muziki nimeanza kufanya nikiwa na umri Mdogo sana Ila toka nijitambua mi ni nani katika jamii na nafanya nini nikiwa na umri wa miaka 16''..

''Mpaka sasa nmefanikiwa kurecord nyimbo takribani 10 zenye radha tofauti pia nyimbo zangu nmejaribu kufanya studio mbali mbali ili kuleta utofauti wa project iliyopita ya saivi na itayokuja kazi zangu nazisimamia mwenyewe sina msimamzi zaidi nategemea tu namna ile nashirikiana na watu wanaonizunguka''.

Na Tulipo Ongea Na Castor Boy Kuhusu Ngoma Yake Ya I Feel Alifunguka sanaaa na kusema.
      ''Daaah aisee kila ninapokutana na jina hili I feel huwa nashusha kwanza pumzi kwani ni nyimbo iliyotumia muda mwingi hadi kukamilika. I feel ni nyimbo ambayo idea yake niliitengeneza nikiwa na hisia zake kama inavojieleza na kwa upande wa uandaaji beat ulikamilishwa na brother Jeff master Ila kwa upande wa vocal na mixing nmefanya na Emmynelly Bway pale Touchz Music Moro town na ni nyimbo nnayo iheshimu kwa asilimia kubwa coz imenisogeza sehemu flani''.

Na Ukafika wakati wa Kujua Mipango Yake Kiujumla Castor Boy Akasema..
''Mipango yangu kiujumla nikutaka timiza ndoto zangu zaidi kwa kupalilia kipaji changu pia naitaji Fanya mapinduzi kwasababu kuna vitu vilivyopo kwenye Sanaa mbaka sasa naviona havipo sawa so naitaka kuja kivingine..

Kupata Video Ya Castor Boy I Feel Link Hii Hapa //www.youtube.com/watch?v=fBQTF_ywShc

Clouds Fm Fiesta Mbeya 2016, Yawafikia Wasanii Wa Nyumbani..

Selementally

                                       Clouds Fm Fiesta 2016 ''Immooooooooooooooo''

Iyo Ndio Kauli Mbiu ya Fiesta Mwaka Huu Ambapo Sasa Ni Zamu Ya Mbeya [Green Cicty],
Clouds Fm Yawafikia Wasinii Wa Hapa Nyumbani Kwaajili Ya Kupiga Nao Story Kuhusu Show Hii Ya Fiesta Mbeya 2016..
Fiesta Mbeya Itafanyika Tarehe 16 Mwezi Huu Wa Kumi Ndani Ya Viwanja Vya Sokoine Ikiwa Na Kiingilio Cha Shilingi Elfu Kumi Tu..
Moja ya Wasanii Walio Tembelewa Na Clouds Fm Ni Pamoja Na Selementally Ambae Anatokea M.C.B.
 Na Kupiga Story Mingi mingi Juu Ya Mziki Anaofanya Kiujumla. Selementally Ni moja Ya Wasanii Watakao Perfome Katika Show Kubwa Ya Fiesta 2016 Mbeya...

Nolesy

Pia Clouds Fm Walifanikiwa Kukutana Na Msanii Anae Toka Green Records Nolesy.
Nae Pia Walipiga Story Mbalimbali Kuhusiana Na Jinsi Walivojiandaa Na Show Y a Fiesta Mwaka Huu 2016...

Kwa Story Zaidi Kuhusu Show Hii Kaa Nasi New Day Taarifa,..

Most Inc Boyz Kuachia Ngoma Yao Mpya Kichuna Remix..

Most Inc Boyz ambao ni familia ya mziki wanakuja na nyimbo yao mpya Kichuna remix.
Alipo piga story na New Day Taarifa muwakilishi wa Most Inc Family, Gorko Flow alisema,

''Most Inc Boyz ni kama familia inawatu wengi lakini kwa tunaoimba ni wanne ambao ni Gorko flow, Kisabari, Lastie Bone na Damost ingawa mtu wa tano atatambulishwa hivi kalibuni,
Kichuna remix imefanyika Most Inc Production imeshirikisha wasanii sita ambao ni Gorko flow, Lastiebone Dr fazi Dullayo Phiner na Damost
Track inatoka tar 16/10  inamilikiwa na Most Inc Boyz, Sababu kubwa ni kuongeza Fan Base. Unajua sisi ni kundi jipya kwaiyo tuna track moja tu hewani kwaiyo kichuna remix inatuongezea wigo mkubwa wa mashabiki sababu ni track Kali pia imeshirikisha wasanii wengi na wakali pia''.

Na Tulipo Ongea Nae Kuhusu Utaratibi Wa Most Inc Boys Kutoa Nyimbo Akasema,
''Utaratibu tulio weka ni kutoa track kila baada ya miezi miwili nikilewa ilitoka tarehe 18/8 ko miez miwili imefika lengo kubwa ni kupata nafasi ya kuachia track kama solo artist pia''

Na Mwisho Akawashukuru Mashabiki wao wote kwa kusema,
 ''Napenda kuwashukuru wote wanaotuunga mkono hatuta waangusha pia kwa mashabiki wa Gorko flow nyimbo yangu na suma mnazaleti imekamilika kwaiyo wajiandae kuipokea baada ya project ya most inc boyz''....

Filamu Fupi ya NGALANGALA Imechaguliwa Kushiriki Katika Shindano la Airtel Video Challenge


Filamu Fupi Ya NGALANGALA Iliyo Ongozwa Na TOMJOHNS Kutoka Jijini Mbeya imechaguliwa kushiriki katika shindano la Airtel Video Challenge,
Kumpigia Kura gusa link hapa chini

http://airtelsocial.com/videochallenge2/gallery.php
©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved