Tizzy B Afunguka Kuhusu Ngoma Yake Mpya Ya Dear Mchepuko

Leo Hii Tizzy B Afunguka Ndani Ya Media Na Kuachia Ngoma Yake Ya Dear Mchepuko,

Imeachiwa Rasmi Leo Hii Na Inapatakana katika Mitandao Mbalimbali Ya Kijamii..
Ukiachana Na Nyimbo Ya Dear Mchepuko Tizzy B Aweka Wazi Malengo Yake Kuhusu Mausiano Na Mpenzi Wake Kwamba Ni Kwenda Kutoa Posa Ivi Karibuni.
Tizzy B Afunguka Pia Kuhusu Changamoto Katika Maisha Kwamba Ni Kukatishwa Tamaa Na Watu, Ila Kwa Upande Wake Amesema anachukulia Ni Changamoto Tu  Za Kawaida Na Zinazidi Kumuongezea Nguvu Ya Kupigana Kimziki.
Neno La Mwisho Alilo Sema Tizzy B Kwa Mashabiki Ni Kwamba ''Naitaji Support Yenu Ili Tuweze Kufika Sehemu Flani Kwa Kushare Na Kupost pia katika mitandao Yetu Ya Kijamii Ili Tuwezeshe Mziki Wetu Kufika Mbali''..
Kupata Ngoma Hii Gusa Link Hii Apa http://www.mtiwadawa.com/2016/10/download-tizzy-b-dear-mchepuko.html
Kwa Hayo Na Mengine Mengi Kaa Nasi New Day Taarifa.

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved