MHE. MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR, AHUTUBIA NYOMI MBAGALA

 …Magufuli akisalimiana na wanachama wa CCM.
MGOMBEA wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dk. John Pombe Joseph Magufuli, leo ametambulishwa rasmi kwa wakazi wa Jiji la Dar, ambapo amepokelewa kwa kishindo na makada wa chama hicho katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kuelekea Mbagala - Zakheem ambako alizungumza na wakazi wa jiji la Dar.

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved