
"Unajua bado tunapishana na ratiba za Chameleone" amesema muimbaji huyo "sasa nimeamua kuandaa kwanza albam yangu 'ukweli wangu' hii itazungumzia maisha yangu, itakua na nyimbo 8 au 10, ili kabla ya kutoa albam nina kolabo mbili ambazo naanza kushoot video zake wiki ijayo.
Nina kilabo na Shaa ambayo inaitwa 'Bado Bado', pia siku iyoiyo tuna shoot video nyingine ya kolabo mimi na T.I.D inaitwa niguse nayo ni kolabo. kwaiyo mashabiki wakae mkao wa kula kuna mzigo unakuja,.
No comments:
Post a Comment