
Msanii huyo alikamatwa kwenye majira ya saa sita na nusu mchana kwenye maeneo ya Acosta Athletic Training Complex, na kufunguliwa file la makosa hayo, japo hakuna mtu yoyote aliumia P Diddy
aliweka selo kuanzia saa sita hadi saa kumi na mbili na kuachiliwa
baada ya kushindwa kupata kisa kamili cha kwa nini shambulio hilo
lilitokea.
Lakini licha ya P Diddy kuachiliwa, polisi wamesma milionea huyo alitakiwa kufikishwa jijini Los Angeles kwenye County Sheriff’s Department Inmate Reception Center na bado mipango hio inaendelea.
No comments:
Post a Comment