Wafugaji mkoani Kagera wamuomba KINANA kuingilia kati mgogoro wao |
Wakingumza mara baada ya KINANA kuwasili katika kijiji cha NYAKANAZI wilayani BIHARAMULO mkoani KAGERA, wafugaji hao kutoka mikoa ya KAGERA, GEITA na KIGOMA wamesema kuwa wamekuwa katika mgogoro na idara hiyo ya Wanyamapori na hivyo kuathiri shughuli zao za ufugaji kwa zaidi ya miaka Mitano sasa.
VENANCE MZUKA ni mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya chama cha wafugaji kanda ya ziwa, akadokeza kuwa jitihada kadhaa zimefanyika bila ya mafanikio.
No comments:
Post a Comment