Ali Mufuruki ni mwenyekiti wa Waandaaji wa Mdahalo huo, hiki ndio alichokisema baada ya kutokea kwa hali hiyo>>>”Tumesikitika
kwamba wamejitoa.. Hiki ni kitu ambacho kimetuchukua muda mrefu sana
kukiandaa. Sijui na sijapata nafasi kuzungumza nao nini kimewakuta“>>>
“Tarehe 18 kutakuwa na mdahalo wa watu wa UKAWA… Hatuwezi kuwalazimisha kuja, wakiamua kutokuja hatuwezi kufanya chochote“>>>
“Mzee
Sumaye anauguliwa kwa hiyo hakuwepo hapa mjini… Mheshimiwa Nyalandu
alithibitisha kushiriki leo asubuhi lakini ameenda Mbeya kikazi na leo
usiku atasafiri kwenda nje ya nchi”>>>
“Kinana
alifafanua kuhusu hili jambo kwamba kila mtu ana hiari ya kuhudhuria ama
kutokuhudhuria. Sidhani kama kuna tatizo kwenye chama… Sijapewa sababu
ya hawa ambao hawajahudhuria”>>>– Ali Mufuruki.
No comments:
Post a Comment