Davido kwenye hatua nyingine ya elimu

beeeee
Jana jumapili staa wa Nigeria Davido alihitimu shahada yake ya mambo ya muziki katika chuo kikuu cha Babcock nchini Nigeria.
daviiii
Superstar huyu kutoka nchini Nigeria amehitimu degree yake ya elimu kutoka chuo Babcock University nchini Nigeria kwenye kitengo cha Muziki.
jazzzzBaada ya taarifa za kuhitimu kwake kusambaa kwenye mitandao ya kijamii alichukua muda wake na kuamua kupost ujumbe katika mitandao ya kijamii.


No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved