Ofisa
Elimu Wilaya ya Mkuranga, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo, Benjamin
Majoya akikata utepe kuzindua rasmi kisima cha maji kilichojengwa kwa
msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa gharama ya sh. mil 56,
katika Kijiji cha Magoza, Kata ya Kiparang'anda, Mkuranga, Mkoa wa
Pwani. Kushoto ni Diwani wa Kata hiyo, Karu Karavina na Mkurugenzi wa
Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo (wa pili kulia).
Ofisa
Elimu Wilaya ya Mkuranga, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo, Benjamin
Majoya (katikati) akiwa na Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni
ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto kwake) pamoja na Diwani wa
Kata ya Kiparang'anda, Karu Karavina (kushoto) wakifurahi baada
kukabidhi mradi wa kisima cha maji kwa wananchi wa Kijiji cha Magoza,
wilayani Mkuranga mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada
wa TBL gharama ya sh. mil. 56.
No comments:
Post a Comment