CHELSEA WAPIGWA NA LIVERPOOL BAO 3-1

1
Wachezaji wa timu ya Liverpool wakimpongeza Philippe Coutinho (katikati) baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika  45 kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Stamford Bridge.

Timu ya Chelsea leo imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa nyumbani wa Stamford Bridge baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Liverpool.
Chelsea inayonolewa na Kocha Mreno, Jose Mourinho ilishindwa kulinda bao lake la mapema ililolipata dakika ya nne kupitia kwa kiungo Ramires.
Hii inakuwa mechi ya kwanza kwa Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp kupata ushindi kwenye EPL tangu ajiunge na kikosi hicho mapema mwezi huu.
Aidha inaweza kuwa mechi ya mwisho kwa Mourinho kuendelea kukinoa kikosi cha Chelsea kwani alipewa mechi mbili kuhakikisha anashinda ikiwemo hii ya leo lakini zote amepoteza.
Chelsea (4-2-3-1): Begovic 6; Zouma 5, Cahill 6, Terry 6, Azpilicueta 6 (Falcao 75, 6); Ramires 7, Mikel 6.5 (Fabregas 69, 6), Willian 7; Oscar 6.5, Hazard 5 (Kenedy 59, 6), Costa 6
Subs not used: Baba, Remy, Matic, Amelia
Scorer: Ramires 4
Booked: Mikel
Liverpool (4-3-3): Mignolet 6; Clyne 7, Skrtel 7, Sakho 7.5, Moreno 5.5; Can 6.5, Lucas 6.5, Milner 7 (Benteke 64, 7); Lallana 7.5 (Lovren 90), Coutinho 8.5, Firmino 7.5 (Ibe 75, 6.5)
Subs not used: Allen, Bogdan, Teixeira, Randall
Scorers: Coutinho 45+3, 74, Benteke 83
Booked: Coutinho, Lucas, Can, Benteke
Att: 41,577
Referee: Mark Clattenburg

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved