MAPOKEZI YA STEVE NYERERE ALIVYOTANGAZA KUGOMBEA UBUNGE WA KINONDONi,,

Kwenye list ya mastaa wa TZ waliotangaza kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi wa 2015 lipo pia jina la mastaa wa Bongo Movie, Steve Mengere aka Steve Nyerere.
Jamaa alikuwa anamaanisha kabisa kuhusu safari yake kwenye Siasa, hapa nina pichaz kutoka kutoka viwanja vya CCM Bwawani ambapo Steve alikuwa akitangaza nia hiyo.
“Mama zangu, baba zangu, vijana wenzangu.. jitokezeni kujiandikisha ni haki yenu ya msingi hasa katika Uchaguzi Mkuu ujao… Mimi Steve Nyerere nimeamua kwa dhati kujitoa na kutangaza nia ya kuwania Ubunge wa Kinondoni“– Steve Nyerere.

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved