Ukiwa mteja wa Vodacom
hakika kuna mengi mazuri yako karibu na wewe kila wakati.. pata picha
unakutana uso kwa uso na staa wako ambae umekuwa unawaza kukutana nae
kila siku.
Hiki ni kingine kizuri ambacho Vodacom Tanzania imekibuni kwa ajili yako mtu wa nguvu.
Kama una ndoto za kuonana uso kwa uso na na staa wako lakini umeikosa nafasi ya kuonana na staa huyo, Vodacom imerahisisha njia na sasa hivi ni rahisi kabisa.
Kama na wewe ni mteja wa Vodacom
basi unaweza kubonyeza namba 15670 utapata maelekezo, na hiyo itakuwa
hatua yako ya kwanza kuelekea kwenye ndoto yako ya kuonana na staa wako
na wewe uishi kistaa.
Chanzo millardayo
Chanzo millardayo
No comments:
Post a Comment