Yanga yaibuka kidedea tena

Hiki ndio kikosi cha Yanga kilicho peleka msiba Msimbazi ambapo Yanga ilishinda kwa mabao 2_0 huku mabao hayo yakiwekwa kimyani na Tambwe na Ngoma katika uwanja wa Taifa jiji Dar es salaam wakati huo huku Yanga wakiwa na historia ya mwaka jana kwenye mechi kama hii Simba waliibuka kidedea kwa ushindi kama walio upata Yanga leo

No comments:

Post a Comment

©2015 New Day Pro Media.All Rights Reserved