Fetty Da Santos |
Pia Fetty aliweka bayana swala la kutojihusisha kimapenzi na mtangazaji mwenzake Chris Bee,bali ni shemeji yake wa nguvu,akisema "Chris B ni kaka wa G-Sacha, so muda mwingine nakuwa naye wakati siko na G,si unajua mume analinda jiko lake?"
Fetty ameongelea pia sababu ya kuhama kutoka Sweet Fm na kwenda Mbeya Highlands Fm,akisema "Niliondoka Sweet Fm kwa sababu za kimaslahi na siyo ugomvi wowote,kama unavyojua watangazaji sasa ni kama wachezaji wa mpira,tunafuata kwenye malipo bora zaidi".
Fetty Da Santos pia alimbia NDT kuwa tayari ameshiriki katika filamu moja ambayo bado haijatoka,na ana mpango wa kushiriki filamu zingine pia akihitajika.
No comments:
Post a Comment