Habari
kubwa mjini kwa asubuhi hii ni kuhusu mkutano mkubwa wa chama cha
wananchi CUF unaoffanyika katika ukumbi wa ubungo plaza ambao ni maalum
kwa kumkabidhi mwenyekiti lipumba FORM ya kugombea urais wa jamhuri ya
muungano wa Tanzania ,
Sasa story hapa kwa sasa ni idadi ya wanachama
waliojitokeza hapa ni wengi kiasi cha kuzidi ukubwa wa ukumbi wenyewe
jambo ambalo linatia wasiwasi hapa kuhusu usalama wa maeneo haya.
Imekuwekea
picha za wanachama na jinsi wavyozidi kumiminika hapa muda huu,bado
lipumba hajafika,Taarifa zinasema mkutano huu utarushwa na ITV ifikapo
saa sita mchana.
No comments:
Post a Comment