Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mwalimu ZAINABU MBUSSI |
Mapema mwezi March mwaka huu wakati akiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Rungwe, amewaambia wapenzi wa soka nchini kwamba atafufua timu hiyo ambayo imewai kuwa Club Bingwa nchini mwaka 1986, na sasa ameaanza kutekeleza ahadi hiyo
No comments:
Post a Comment