Rais JACOB ZUMA wa AFRIKA KUSINI amesema kuwa FEDHA ZA WALIPA KODI hazistahili kutumika kwa RUSHWA.
Akizungumza katika kongamano la kimataifa la KIUCHUMI, barani
AFRIKA linalofanyika mjini CAPE TOWN nchini humo, Rais ZUMA amesema
haijalishi udogo au ukubwa wa rushwa , bali kilicho muhimu kwa wananchi
ni kuona kuwa serikali husika zinawashughulikia viongozi wala rushwa kwa
mujibu wa sheria.
No comments:
Post a Comment