Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeteketeza mashine thelathini na
nane za kuchezesha Bahati Nasibu mjini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Mashine
15000 kwa kuendeshwa zikiwa na mapungufu kinyume cha Sheria.
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi hiyo TARIMBA ABBASS amesema kuwa Zoezi la
kukamata na kuteketeza Mashine hizo lilianza mwishoni mwa mwaka jana
baada ya kupokea malalamiko juu ya Mashine hizo na kwamba zoezi hilo ni
endelevu, ambapo mpaka sasa zaidi ya Mashine elfu moja na mia tano
zimekamatwa na kuteketezwa.
No comments:
Post a Comment